Baadhi ya Mali zilizopotea Katika Ajali ya Sharo zapatikana ila pesa Bado
Read User's Comments(0)
Posted by
RAMADHANI
Uingereza yasitisha msaada kwa Rwanda
Posted by
RAMADHANI
Rasimu ya katiba Misri yaidhinishwa
Posted by
RAMADHANI
HESHIMA NA SWALAA YA MWISHO KWA SHARO MILIONEA
![]() |
Mwili wa Marehemu Sharo milionea ukiswaliwa kwa mara ya mwisho na watu waliofika msibani nyumbani kwao Katika kijiji cha Lusanga Muheheza tanaga |
Posted by
RAMADHANI
MZEE MAJUTO RAFIKI WA KARIBU SANA NA MAREHEMU SHARO MILIONEA AKIELEKEA MAKABURINI
Posted by
RAMADHANI
200 wajeruhiwa wakitafuta kazi Tunisia
Posted by
RAMADHANI
UN yasaidia Mali ingawa kwa tahadhari
Posted by
RAMADHANI
Hali ya mzee majuto
![]() |
Add captionAdd capti |
YANAYOJIRI KWENYE MSIBA WA SHARO MILLIONEA:
Hali ya mzee King Majuto presha imepanda na hali kuzidi kuwa mbaya kutokana na kupata taarifa za msiba wa Sharo Milionea.
Mjomba wa marehemu Sharo Millionea, Bwana Omary Fundikira asema
marehemu anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho, Jumatano. Hii ni kutokana na
msanii mwenzake John Maganga kuzikwa leo.
...
Mkuu wa polisi mkoa wa Tanga RPC Costantine Massawe asema Hussein
Ramadhani (Sharo Milionea) alikuwa mwenyewe katika gari na ilipotokea
ajali gari lilimrusha nje na kufariki hapohapo.
Pia rafiki wa
marehemu bwana Mohamed Ismail ambaye ndiye aliyemuazimisha gari
alilopata nalo ajali, asema ilitakiwa waongozane kwenda Tanga pamoja ila
alishindwa maana alipata majukumu mengine.
Mkuu wa polisi mkoa wa Tanga RPC Costantine Massawe asema Hussein Ramadhani (Sharo Milionea) alikuwa mwenyewe katika gari na ilipotokea ajali gari lilimrusha nje na kufariki hapohapo.
Pia rafiki wa marehemu bwana Mohamed Ismail ambaye ndiye aliyemuazimisha gari alilopata nalo ajali, asema ilitakiwa waongozane kwenda Tanga pamoja ila alishindwa maana alipata majukumu mengine.
Posted by
RAMADHANI
TUTAKUKUMBUKA SHAROMILIONEA
Posted by
RAMADHANI
Posted by
RAMADHANI
LUTENI KALAMA ASAKWA AULIWE NA KIGOGO WA SERIKALI!
Mwanamuziki wa siku nyingi kwenye game
hiyo ya bongo flava,Luteni Kalama kuna madai anatafutwa na na mume wa
Miss Ruvuma ambae amezaa nae mtoto mmoja ili amuue kwa risasi.
Habari za uhakika toka kwa mtu wa
karibuni na mwanamuziki huyo zilisema kuwa Luteni Kalama amekuwa na
kwenye mahusiano ya kimapenzi na Miss huyo wakati ni mchumba wa mtu
ambae ni kigogo mmoja anaefanya kazi Wizara ya Ujenzi aliyefahamika kwa
jina moja la Nzenzely.
Aidha alipotafutwa mrembo huyo ili nae
kuzungumzia alisema alikuwa na ya kusema"Hizo habari za kutafutana kwa
bunduki mi hazini husu ukaribu wangu na Kalama ni wa kisanii na si
vinginevyo" Alijibu kwa ufupi Miss huyo
|
Posted by
RAMADHANI
Ommy Dimpoz Poz Kwa Poz kuachia ngoma mpya
![]() |
Ommy Dimpoz kuachia ngoma mpya week ijayo |
Posted by
RAMADHANI
TAKUKURU FUATILIENI FEDHA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI HALMASHAURI-GALLAWA
MKUU wa mkoa wa Tanga, luteni (mstaafu) Chiku Gallawa, ameitaka Taasisi
ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuongeza kasi ya kufuatilia
fedha zinazopelekwa na serikali katika halmashauri nchini ili ziweze
kutumika vizuri kwenye miradi mikubwa ysa maendeleo iliyokusudiwa. Akifunga Mkutano Mkuu wa mwaka wa takukuru kwenye hoteli ya Tanga beach Resort kwa maofisa wa taaisis hiyo kutoka mikoa yote ya tanzania bara, Mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa takukuru wamebeba dhamana kubwa ya kustawisha maendeleo kwa kufautilia watendaji kwenye halmasauri ambao wanatumia vibaya fedha zinazoolewa na serikali kwa ajili ya maendeleo. Amesema serikali hasa ya awamu ya nne, imekuwa ikitoa fedha nyingi katika halmashauri kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maeneleo hasa ya elimu, afya, barabara na kujenga majengo mbalimbali lakini fedha hizo wakati mwingine zimekuwa zikitumika visivyo na hivyo kuleta malalamiko kutoka kwa wananchi. Mkuu huyo wa mkoa pamoja na kuipongeza taasisi hiyo kwa kufanikiwa kuokoa fedha za serikali kiasi cha shilingi bilioni 97.5, lakini ameitaka takukuru kuhakikisha inaongeza kasi ya mapambano ya rushwa kwa kuwa kufanya hivyo kutasaidia mipango mbalimbali ya maendeleo ya nchi. Kuhusu wananchi mkuu huyo wa mkoa amewataka kutoa ushirikiano kwa taaisis hiyo na waache kulalamikia masuala ya ufisadi wakati kama watatoa ushirikiano masula hayo yanaweza kudhibitiwa kwa watu kuogopa fedha za umma hatua ambayo mwelekeo wa taasisi hiyo inakoelekea na kwamba waongeze jitihada kutumia nyenzo walizokuwa nazo katika mapambano hayo. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt Edward Hosea alisema kuwa wataendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu suala la mapambano ya rushwa ikiwemo kuwafundisha watumishi wake kwenda sambamba na mabadiliko ya teklonojia katika masuala ya rushwa. |
Posted by
RAMADHANI
Mwanamke azaa mapacha na kuwaita Barack Obama na Mitt Romney
![]() |
Mwanamke mwenye miaka 20 Millicent Owuor jana amejifungua watoto mapacha na kuwapa majina Barack Obama na Mitt Romney. Watoto hao walizaliwa katika hospitali ya Siaya kusini magharibi mwa Kenya. Owuor aliwaambia waandishi wa habari kuwa aliamua kuwapa majina hayo wanae ili kuikumbuka siku ya uchaguzi huo wa Marekani. |
Posted by
RAMADHANI
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BOMBA LA GESI ASILIA KUTOKA MTWARA-DAR ES SALAAM
![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na viongozi wengine wakimsikiliza Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo miundombinu ya bomba la gesi asilia toka Mtwara… |
![]() | |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua rasmi ujenzi wa bomba la gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi njijini Dar es salaam. Nyuma yake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali. |
Posted by
RAMADHANI
Hiki ndicho T.I anadhani kilikuwa chanzo cha ugomvi kati ya Rick Ross na Young Jeezy.
![]() | |
Rapper T.I ambae pia ni mshindi wa tuzo za
Grammy amechangia mawazo yake kwa kile kilichotokea wiki hii ambapo Rick Ross
the Big Boss alizinguana vibaya na Young Jeezy hadi kufikia hatua ya kusukumana
walipokuwa back stage wakati wa kurekodi matukio ya BET Hip Hop Awards 2012.
katika interview moja T.I alitaja ‘majivuno
na umimi’ kuwa mara nyingi ni chanzo cha celebs
kugombana, japo alionesha kuwa ni mtazamo wake na anavyodhani ila
hakujua lolote kuhusu huo ugomvi kati ya Rick Ross na Young Jeezy.
|
Posted by
RAMADHANI
![]() |
Chris Brown na Rihanna katika show ya Jay Z
Inasemekana ukaribu
unaoendelea kuonekana kati ya R&B singer Chris Brown na Rihanna
ukawa ni ukurasa mpya wa mapenzi yao ambayo bado hawajayaweka wazi kwa
kauli zao.
Muda mchache uliopita Chris brown ametangaza rasmi kuachana na girl friend wake Karrueche Tran
kwa madai kwamba hataki kuendelea kumuumiza kutokana na urafiki alionao
na Rihanna. Uamuzi huo unakupa picha gani? Kama ni sacrifice kwanini
hakuamua kustay away from Rihanna ili asimuumize girl friend wake
huyo??? haya ndio maswali yanayowafanya watu wengi waamini kuwa Chris
and Rihanna are back together.
"Nimeamua kuwa
single, ili niweze ku focus katika kazi yangu. Nampenda sana Karruche
lakini sipendi kuona akiumia kutokana na urafiki wangu na Rihanna", hayo ni maneno aliyoyasema Chris Brown wakati akitoa maelezo ya kwanini kachukua uamuzi huo. Aliongeza kwa kusema "ni bora niwe single ili wote tuwe happy katika maisha yetu".
Uamuzi huo wa Chris
Brown umekuja mara baada ya yeye na Rihanna kuonekana wakiwa pamoja
katika concert ya Jay Z iliyofanyika Brooklyn usiku wa juzi kwa saa za
marekani.
|
Posted by
RAMADHANI
Vifo vya watoto vimepungua duniani
Watoto
Takriban watoto milioni 6.9
walifariki kabla ya kufikisha miaka mitano mwaka jana ikilinganishwa na
vifo milioni 12 vya watoto wachanga vilivyotokea mwaka 1990. Takriban
watoto elfu kumi na tisa walifariki mwaka 2011.
Kwa mujibu wa shirika la kuwahudumia watoto la
Umoja wa mataifa Unicef, sababu mojawapo ya kupungua kwa vifo ni nchi
maskini kutajirika.Nchi ambazo idadi ilipungua sana ni zile ambazo zilipata msaada mwingi kutoka nje. "ukiangalia, nchi ambazo idadi ya vifo imepungua sana mfano Jamuhuri ya watu wa Lao, Timor na Liberia ambazo ni nchi tatu za kwanza katika orodha ya nchi ambako idadi ya vifo ilipungua, nadhani kwa nchi hizi zote msaada unaotoka nje umechangia pakubwa jambo hilo,'' alisema mkurugenzi mkuu wa shirika la Unicef nchini Uingereza, David Bull. Juhudi zinazolenga magonjwa ya kuambukizana kama Ukambi, zimepunguza vifo duniani kutoka vifo vya watoto laki tano mwaka 2000 hadi vifo laki moja mwaka 2011. Mwaka jana nusu ya vifo vya watoto wachanga duniani vilitokea katika nchi tano pekee kulingana na Unicef. Hizi nchi ni pamoja na India, Nigeria, Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Pakistan na China. Katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Chad, Somalia, Mali, Cameroon na Burkina Faso idadi ya vifo vya watoto iliongezeka kwa vifo 10,000 au zaidi mnamo mwaka 2011 ikilinganishwa na mwaka 1990. Karibu vifo hivyo vyote vilichangiwa na ugonjwa wa Malaria kwa watoto walio chini ya miaka mitano katika nchi za Kusini mwa jangwa la Sahara mwaka jana kwa mujibu wa shirika hilo. Mizozo pia ilichangia huku ugonjwa wa kichomi na tatizo la kuharisha vile vile nayo yakichangia vifo hivyo. |
Posted by
RAMADHANI
Subscribe to:
Posts (Atom)