WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

Chris Brown na Rihanna katika show ya Jay Z
Inasemekana ukaribu unaoendelea kuonekana kati ya R&B singer Chris Brown na Rihanna ukawa ni ukurasa mpya wa mapenzi yao ambayo bado hawajayaweka wazi kwa kauli zao.

Muda mchache uliopita Chris brown ametangaza rasmi kuachana na girl friend wake Karrueche Tran kwa madai kwamba hataki kuendelea kumuumiza kutokana na urafiki alionao na Rihanna. Uamuzi huo unakupa picha gani? Kama ni sacrifice kwanini hakuamua kustay away from Rihanna ili asimuumize girl friend wake huyo??? haya ndio maswali yanayowafanya watu wengi waamini kuwa Chris and Rihanna are back together.

"Nimeamua kuwa single, ili niweze ku focus katika kazi yangu. Nampenda sana Karruche lakini sipendi kuona akiumia kutokana na urafiki wangu na Rihanna", hayo ni maneno aliyoyasema Chris Brown wakati akitoa maelezo ya kwanini kachukua uamuzi huo. Aliongeza kwa kusema "ni bora niwe single ili wote tuwe happy katika maisha yetu".

Uamuzi huo wa Chris Brown umekuja mara baada ya yeye na Rihanna kuonekana wakiwa pamoja katika concert ya Jay Z iliyofanyika Brooklyn usiku wa juzi kwa saa za marekani.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: