WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

LUTENI KALAMA ASAKWA AULIWE NA KIGOGO WA SERIKALI!

Mwanamuziki wa siku nyingi kwenye game hiyo ya bongo flava,Luteni Kalama kuna madai anatafutwa na na mume wa Miss Ruvuma ambae amezaa nae mtoto mmoja ili amuue kwa risasi.
Habari za uhakika toka kwa mtu wa karibuni na mwanamuziki huyo zilisema kuwa Luteni Kalama amekuwa na kwenye mahusiano ya kimapenzi na Miss huyo wakati ni mchumba wa mtu ambae ni kigogo mmoja anaefanya kazi Wizara ya Ujenzi aliyefahamika kwa jina moja la Nzenzely.
Chanzo chetu kilieleza  kuwa Issabaelah na Luten wamekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa kipindi kirefu ingawa wali walikuwa wamefanya kama siri lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mambo yakawa hadharani hadi kigogo huyo kushtukia ishu.Hata hivyo kufuatia tuhuma hizo mwandishi wetu alimtafuta Kalama mwenyewe ili athibitishe sakata hilo ambapo alipataikana na kuizungumzia ishu hiyo kwa ujumla" Ni kweli na mimi nasikia kwamba natafutwa ili nipigwe risasi kwa vile nina ukaribu na Bellah,Lakini mimi namuachia mungu ingawa nina mpango wa kwenda kutoa taarifa Polisi" Alisema Kalama 
Aidha alipotafutwa mrembo huyo ili nae kuzungumzia alisema alikuwa na ya kusema"Hizo habari za kutafutana kwa bunduki mi hazini husu ukaribu wangu na Kalama ni wa kisanii na si vinginevyo" Alijibu kwa ufupi Miss huyo

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: