WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

WAFUGAJI WATAKIWA KUWA MAKINI NA MAGONJWA YAMIFUGO

Wafugaji nchini watakiwa kuwa makini na ufugaji wa kisasa kuepukana na magonjwa yanayoweza kuwakumba mifugo yao hayo yamesemwa na  Dk wa mifugo wa kitongoji cha mkuzi wilayani muheza jijini Tanga alipokuwa akitembelea majengo ya wafuhgaji jijini humo Ndugu Sabastine Vestine ambapo wafugaji hao wamelalamika kuwa wamekuwa wakipoteza wanyama wengi kwa kukosa elimu ya ufugaji


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: