WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

Honi kali zitatumiwa kwenye Olimpiki

Mazoezi ya ulinzi kwenye Mto Thames, London
Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imethibitisha kuwa chombo kama honi, kitatumiwa kama silaha mjini London wakati wa michezo ya Olimpiki.

Kelele za chombo hicho zinaweza kuvuma kwa masafa marefu na kuumiza masikio.
Chombo hicho kimetumiwa sehemu kadha za dunia kutawanya mkusanyiko wa watu; na kinatengenezwa Marekani ambako kimearifiwa kuharibu masikio daima.
Lakini Wizara ya Ulinzi inasema kitatumiwa tu kwenye vipaza sauti kuzuwia misafara kwenye Mto Thames; na ni sehemu ya zana kadha zitazotumiwa kuhakikisha usalama wa Olimpiki.
Chombo hicho kinatumiwa kupambana na maharamia wa Somalia.


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: