Jamani intubidi tuende mbele na kurudi nyuma mtoto anateseka sana watanzania tumuombeee mwenzetu ndugu yetu japokuwa makosa ameyatenda na amewakwaza sana bahadhi ya watu kutokana na skendo nyingi zilizokuwa zikitokea katika baadhi ya vyombo vya habari tukumbuke jamani maisha ya mabusu na tukiangalia umri wake na mambo anayoyafanya yalikuwa ayaendani kabisa na umri wakea tumuangalie kiukweli kwa haya yaliyomkuta atakuwa amejifunza sana basi sisi watanzania tukesheni tukimuombea mungu juu ya hatima ya kesi yake inayoendelea kwa sasa |
WATANZANIA TUMUOMBEENI LULU JUU YA KESI YAKE INAYOENDELEA
Posted by
RAMADHANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 maoni:
Post a Comment