Wapiganaji wa Taliban wameshambulia gereza kaskazini magharibi mwa Pakistan, na kuwaachilia huru wafungwa karibu 400.
Wakuu wanasema kati ya wafungwa waliotoroka ni wapiganaji na wahalifu wakubwa. Mmoja wao, Adnan Rasheed, alihukumiwa kifo kwa kupanga njama ya kumuuwa rais wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf. |
Taliban wavunja gereza Pakistan
Posted by
RAMADHANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 maoni:
Post a Comment