WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

Vita vya mihadarati vyauma Mexico

Wanajeshi mjini Monterrey, Mexico
Wakuu wa Mexico wamegundua miili iliyokatwakatwa ya watu kama 37, iliyotiwa kwenye mikoba ya plastiki na kutupwa kwenye barabara kuu, karibu na mji wa Monterrey, kaskazini mwa nchi.


Miili hiyo ilikutikana Jumapili alfajiri.
Inaelekea mauaji hayo ndio ya karibu kabisa, katika mfululizo wa mauaji ya kikatili, yaliyohusika na mizozo inayoendelea baina ya magengi yanayouza mihadarati.
Jumatano iliyopita, maiti 18 zilikutikana zimekatwa vichwa na jinsi, karibu na mji wa pili kwa ukubwa nchini Mexico, mji wa Guadalajara.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: