Mapigano makali yametokea Somalia baina ya wanajeshi wa eneo lilojitangazia uhuru la Jamhuri ya Somaliland na wanajeshi watiifu kwa eneo lilojitenga, liitwalo "taifa la Khatuma".
Hospitali za huko zinasema kuwa watu kadha wameuwawa na kujeruhiwa.
Mwandishi wa BBC kwenye eneo hilo, anasema hayo ni mapigano makubwa kabisa kutokea tangu Khatuma kujitenga na Somaliland, awali mwaka huu.
0 maoni:
Post a Comment