Serikali ya Cuba imetangaza kuwa Ijumaa ya Pasaka itakuwa siku ya mapumziko, baada ya kuombwa na Papa Benedict.
Tangazo lilotolewa na Cuba lilisema kuwa siku hiyo kwanza itakuwa ya mapumziko mwaka huu tu, lakini uamuzi utachukuliwa baadae kama ada hiyo itaendelezwa au la.
0 maoni:
Post a Comment