WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

Libya yasherehekea siku ya uhuru

 24 Disemba, 2011 - Saa 14:42 GMT


Kwa mara ya kwanza katika miongo mine, Libya inasherehekea siku iliyopata uhuru kutoka kwa Utaliana miaka 60 iliyopita.
Bendera ya Libya
Wakati wa utawala wa Kanali Gaddafi, WaLibya wakiruhusiwa kusherehekea tu siku aliyonyakua madaraka mwaka wa 1969.
Katika sherehe za leo kunafanywa mhadhara kutoka medani ya mashujaa, kati ya mji mkuu, Tripoli, hadi kasri ya zamani ya mfalme

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: