WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

BOTI LAWEAKA MOTO ZANZIBAR

Watanzania tunatakiwa kuwa makini na uchunguzi wa vyombo vyetu kabla havijaanza safari, Tumechoka kupoteza maelfu ya ndugu zetu, Hayo yametokea mjini Zanzibar huku watu wakiangalia sauti za busara  na huku nje boti ya abiria inawaka moto jamania Tanzania inaelekea wapi (Picha na Salma Said) 


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: