Tunafua nguo na kuosha vyombo. ila maji haya si salama kwa matumizi ya binadamu. |
Wakazi wa jangwani jijini Dar es Salaam walioathiliwa na mafuriko
wakisafisha vyombo vyao kwa kutumia maji yasiyo salama pembezoni mwa makazi yao baada ya kurejea katika makazi yao na kuendelea na maisha kama kawaida jana ( Picha na Ramadhani Daffa) Dar es Salaam
0 maoni:
Post a Comment