WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

KESI YA MGANGA WA KIENYEJI DHIDI YA AT YASOMWA LEO

Ile kesi inayomkabili mwanamuziki wa miondoko ya Miduara Ally Ramadhani maarufu kama AT dhidi ya Mganga wa kienyeji leo ndio ilikuwa tarehe yake ya kusomwa katika Mahakama ya Mwanzo Buguruni jijini Dar es Salaam  
AT alifika mahakamani mapema Asubuhi leo hii na ilipofika zamu ya kusomwa , Aliingia mahakamani na kusomewa mashtaka yake lakini kesi hiyo imepigwa Tarehe mpaka 2 April 2014 
Ambapo Mdai Dr Sharif anatakiwa kwenda na vilelezo vinavyothibitisha madai hayo
Dr Sharif anadai kati ya mwaka 2010 mpaka 2013 alimtibia Msanii huyo na humlipa
Matibabu hayo ni pamoja na kuinua Nyota na kusaidia kumpa Tunzo mwaka
2013

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: