WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

SHIDA YA MAJI YAZIDI WILAYANI MUHEZA TANGA

Bado wilaya ya muheza shida ya maji imezidi kjuwa kubwa zaidi japo kjuwa jitihada za viongozi zinaendelea na jitihada za utatuzi wa tatizo hilo lakini bado wakazi wa wilaya hiyo wanapata tabu sana na shida ya maji ,jitihada ambazo zinafanywa na manispaa nzima ya wilaya hiyo ni kutoa maji katika mto zig na kusamabaza katika wilaya nzima japo kuwa bado mpango huo haujakamilika

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: