Duru za kijeshi zinasema kuwa wanajeshi 20,000 wa
Syria sasa wako katika eneo la mji wa Aleppo, ambako jeshi linapigana
kuwatoa wapiganaji mjini humo.
Lakini mwandishi wa BBC anasema wapiganaji wameongezeka mjini Aleppo, na wamejizatiti sawa-sawa. Katika mji mkuu, Damascus, jeshi lilisema limelikomboa eneo la mwisho muhimu kwa wapiganaji |
Vita vya Aleppo vyazidi kuwa vikali
Posted by
RAMADHANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 maoni:
Post a Comment