WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

MAMA NI MAMA TU

wanapokuwa hospitalini hipata tabu mno lakini tuwaheshimu
Daima mama ni mama lakini amini usiamini siri nzito na ujasiri wa kutosha  anao mama kiukeli akiwa na ujasili wa kukulea mpaka kufanikisha ndoto zako utajihisi mwenye furaha sana kwa kupata mama anayekupenda lakini akiamua kukumaliza amini usiamini ndoto  zako zitakuwa zimeishia hapo

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: