WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

WAJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA NCHINI TANZANIA

Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Mwenyekiti Jaji Warioba (mbele katikati) pamoja na wadau wengine baada ya Tume kukabidhiwa Ofisi, Mtaa wa Ohio, Dar es Salaam leo. Kulia kwa Jaji Warioba ni Waziri Kombani na kushoto ni Wazir...i wa Katiba na Sheria ZNZ Abubakari Khamis Bakari. Wengine ni Makatibu Wakuu Viongozi Balozi O. Sefue (SJMT) na Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee (SMZ); AG Jaji Fredrick Werema na Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala. Ally na Awadh waleeeee

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: