Serikali ya Ufaransa imethibitisha kwamba waandishi habari wawili wa kimataifa wameuawa katika mji wa Homs, Syria. Wanaharakati wa Syria wamesema wawili hao walikufa baada ya kombora kupiga nyumba walimokuwa wakipeperushia matangazo yao eneo la Baba Amr. Kwenye ripoti yake hapo Jumanne Colvin alisema mashambulizi ya jeshi la serikali yalifanywa bila kujali usalama wa raia. Mwanaharakati wa Syria ambaye amekuwa akitoa kanda za video pia aliuawa mjini Homs. |
Waandishi habari wauawa Syria
Posted by
RAMADHANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 maoni:
Post a Comment